Wahadhiri na wanafunzi waliohudhuria kongamano la CHAKITA lililofanyika katika Kenya school of Government ( Baringo) Kabarnet , Kuanzia Novemba 25-26, 2021. Kauli Mbiu: Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne ya 21.
Wanafunzi idarani wakiwa kwenye kongamano la CHAWAKAMA katika chuo kikuu cha Maasai Mara- Narok, Kenya
Wanaidara waliohudhuria semina ya idara kusikiliza mawasilisho ya wenzao waliohudhuria kongamano la CHAWAKAMA - Chuo Kikuu cha Maasai Mara- mwezi wa Novemba, 2019.
WAHADHIRI NA WANAFUNZI WA UMAHIRI WALIOHUDHURIA WASILISHO LA DR. MUSA HAS KUTOKA TATAKI_ CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Chairperson, Dr Pamela Ngugi and Dr Beth Mutugu during a visit of Othaya Girls High School visited to the department on 11th March, 2020
Wahadhiri wa Idara ya Kiswahili na wageni walio hudhuria semina iliyoandaliwa kusherehekea siku ya Lugha Mzazi akiwemo Naibu Balozi wa Bangladesh, Mheshimiwa Bw. Sayed Ahmed na Prof. Onywera - Registrar , Research, Innovation and Outreach miongoni mwa wageni wengine.

Conferences/Seminars Attended

  • November 2011: Review of Kamusi ya Kiswahili Sanifu Toleo la Pili – Oxford University Press.
  • October 2011:Presented a paper “Sheng from Sociolinguistics Perspective” at Gender-Youth Culture in Kenya” Kenya National Commission UNESCO Youth Forum. The Institute, Nairobi, October 6, 2011.
  • 6-10th November 2006:Regional Eastern Africa Unistaff Alumni Network Conference and Workshop on Quality Assurance in Higher Education, Kenyatta University.
  • 4th -5th December, 2006:IUCEA/DAAD Kenya National Workshop on Quality Assurance for Higher Education, Nairobi,.
  • 5th-6th Aug 2006:Management Seminar, Kunste Hotel.
  • February 2009:Member, Committee on Re-Appeal cases against discontinuation on examination irregularity and expulsion on other offences.
  • Nov. 2011:Review of Kamusi ya Kiswahili Sanifu Toleo la Pili – Oxford University Press.
  • May 2006:Tuition Fee Revision Committee

Affiliations

  • Member, International Editorial Advisory Board, Kiswahili Journal – Institute of Kiswahili Research, University of Dar es Salaam.
  • Regular Internal Assessor for senior staff seeking promotions, Institute of Kiswahili Research, Research, University of Dar es Salaam.
  • External Examiner, Kiswahili in various Universities in the Region.
  • Member, American National Geographic Society.

Prof. Peter Githinji

Mwenyekiti, Idara ya Kiswahili 


Kiswahili News & Events

Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne ya 21

MODNS2_CREATED 29 November 2021

Wahadhiri na wanafunzi waliohudhuria kongamano la CHAKITA lililofanyika katika Kenya school of Government ( Baringo) Kabarnet , Kuanzia Novemba 25-26, 2021. Kauli Mbiu: Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne...

WITO WA MAKALA ,KITABU CHA HESHIMA KWA PROF. GEORGE IRERI MBAABU

MODNS2_CREATED 06 July 2021

>>>>>DOWNLOAD WITO WA MAKALA ,KITABU CHA HESHIMA KWA PROF. GEORGE IRERI MBAABU

Go to Top
Template by JoomlaShine