Wahadhiri na wanafunzi waliohudhuria kongamano la CHAKITA lililofanyika katika Kenya school of Government ( Baringo) Kabarnet , Kuanzia Novemba 25-26, 2021. Kauli Mbiu: Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne ya 21.
Wanafunzi idarani wakiwa kwenye kongamano la CHAWAKAMA katika chuo kikuu cha Maasai Mara- Narok, Kenya
Wanaidara waliohudhuria semina ya idara kusikiliza mawasilisho ya wenzao waliohudhuria kongamano la CHAWAKAMA - Chuo Kikuu cha Maasai Mara- mwezi wa Novemba, 2019.
WAHADHIRI NA WANAFUNZI WA UMAHIRI WALIOHUDHURIA WASILISHO LA DR. MUSA HAS KUTOKA TATAKI_ CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Chairperson, Dr Pamela Ngugi and Dr Beth Mutugu during a visit of Othaya Girls High School visited to the department on 11th March, 2020
Wahadhiri wa Idara ya Kiswahili na wageni walio hudhuria semina iliyoandaliwa kusherehekea siku ya Lugha Mzazi akiwemo Naibu Balozi wa Bangladesh, Mheshimiwa Bw. Sayed Ahmed na Prof. Onywera - Registrar , Research, Innovation and Outreach miongoni mwa wageni wengine.
dr arege  

Name  :  Dr. Timothy I. M. Arege

Department: Kiswahili

Private Address : P.O Box 7610 00200, Nairobi.

Corporate email  : This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Personal email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Designation  :    Senior Lecturer

 Areas of Specialization:  Literary Studies, Curriculum Development and Research
ORCID: https://orcid.org/0000-0002-8595-3171

Download full CV

Conferences And Workshops

  • August – September 2019:   Workshop on Developing Competence Based Curriculum Scope and Sequence Charts for Junior Secondary, KICD, Machakos.
  • August 2019: Pre-conference on Language in Education on the Competence Based Curriculum, KICD, Nairobi.
  • October 2018:  Teaching Methodology Workshop, Kenyatta University, Nairobi.
  • May 2018: Workshop on Editing Grade 5 and 6 Curriculum Designs KICD, Naivasha.
  • May 2018: Workshop on Developing CBC Curriculum Designs for upper primary, KICD, Naivasha.
  • April - May 2018: Workshop on Developing CBC Scope and Sequence Charts for upper primary, KICD, Mombasa.
  • April 2018:  Training on Competence Based Curriculum (CBC), KICD, Nairobi.
  • November 2014:Guidelines on implementation of Language in Education Policy. KICD, Naivasha.
  •  April 2011:  BAWAKI International Conference on Language, Culture and  Constitution, CUEA, Nairobi.
  • September 2010: Implementers Training for ISO 900:2008 Standard for Middle Level Management, CUEA & Quality Management Systems, Nairobi.
  • August 2009: Pan- African Reading Conference, Dar es Salaam University.
  • May 2009:Association of Third World Studies Conference, at C.U.E.A.
  • April 2009:   Kiswahili Workshop for secondary school teachers at Mutomo.
  • March 2009:  Item Writing Workshop, KNEC, Nairobi.
  • March 2009:  Kiswahili Workshop for secondary school teachers at C.U.E.A,Nairobi.
  • February 2008:  Quality Assurance Workshop, C.U.E.A, Nairobi.
  • November 2005: Kiswahili Conference organized by CHAKAMA (Chama Cha Kiswahili cha Afrika Mashariki), Eldoret.

PUBLICATIONS

  • 2020: Monitoring Learner Achievement at Grade 2 Level of Primary School Education in Kenya, Early Grade Mathematics Assessment (EGMA) Endline Study [A publication based on research work done with a team of researchers] – Kenya National Examinations Council. 
  • 2020: Kiswahili Sahili [a CBC Grade 5 text book co-authored with V. Ondieki, N.Otieno & E. Matoke] – Access Publishers.                     
  • 2020:  Mwongozo Kiswahili Sahili [a CBC Grade 5 teacher’s guide co-authored with Ondieki, N. Otieno & E. Matoke] – Access Publishers. 
  • 2020: ‘Language and Development in Kenya: Missed Opportunities and Prospects of a Lingua Franca’ in Language, Culture & Constitution, papers from the BAWAKI international conference proceedings. 
  • 2020:Language, Culture & Constitution [Ed.], papers from the BAWAKI International Conference proceedings. 
  • 2019:Kiswahili Sahili [a CBC Grade 4 text book co-authored with V. Ondieki, N.Otieno & E. Matoke] – Access Publishers. 
  • 2019: Mwongozo Kiswahili Sahili [a CBC Grade 4 text book teacher’s guide co-authored with V. Ondieki, N. Otieno & E. Matoke] – Access Publishers. 
  • 2016:Fani ya Ushairi– Oxford University Press. (A poetry criticism text book) 
  • 2016: Duara – Brook Africa. (A play) 
  • 2015: Majira ya Utasa - Spotlight Publishers. (A play) 
  • 2014:Tunu ya Ushairi [Ed] – Oxford University Press. (A poetry anthology) 
  • 2012:Mwongozo wa Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine [co-authored with Felicia K.Mbuvi & Everlyne Were] – Target Publishers. (A literature study guide for the short story anthology Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine) 
  • 2011: Gitaa na Hadithi Nyingine [Ed] – Longhorn Publishers. (A short story anthology) 
  • 2011:Kamusi Fafanuzi ya Methali [co-authored with Mwalaa M. Nyanje]–Target Publishers. 
  • 2009: An article on East African Environmental Literature in A Booklist of International Environment Literature (2009) edited by Scott Slovic. Online at www.articlearchives.com
  • 2009:Mstahiki Meya - Vide~Muwa Publishers. (A play) 
  • 2009: Kijiba cha Moyo - Longhorn Publishers. (A play) 
  • 2007: Lugha ya Kiswahili: Wasomi na Watumiaji Wake (Kiswahili Language: Its Scholars and Users) an article in the Eastern African Journal of Humanities and Sciences, Vol. 7, No. 2 – The Catholic University of Eastern Africa. 
  • 2007: Chamchela – The Jomo Kenyatta Foundation. (A play) 
  • 2007:Kielezi cha Tungo – Focus Publishers. (An essay writing textbook for college and university students)
  • 2007:  Kunga za Kiswahili I:  Mwongozo wa Mwalimu [co-authored with Assumpta Matei & Joy Walucho] – Focus Publishers.
  • 2007: Kunga za Kiswahili IV [co-authored with Assumpta K. Matei] – Focus Publishers. (A textbook for form four students)
  • 2007:  ‘Tabasamu Zao’,  ‘Wadudu Hatari’, ‘Pamela’, ‘Ngoma za Leo’, and ‘Limwengu Tofauti’ poems in the anthology Diwani ya Karne Mpya (2007) edited by Ken Walibora – Phoenix Publishers. 
  • 2006: Mwongozo wa Pango – Vide~Muwa Publishers. (A literature study guide for the play Pango)
  • 2006: Kunga za Kiswahili III [co-authored with Asumpta K. Matei] – Focus Publishers. (A textbook for form three students)
  • 2006: Kunga za Kiswahili II [co-authored with Asumpta K. Matei] – Focus Publishers. (A textbook for form two students)
  • 2005:Kunga za Kiswahili I [co-authored with Asumpta K. Matei & Joy Walucho ] Focus Publishers. (A textbook for form one students)
  • 2005:Mwongozo wa Mayai Waziri wa Maradhi na Hadithi Nyingine [with K.W.Wamitila & Deogratius Mwakyembe] – Focus Publishers (A literature study guide for the short story anthology Mayai Waziri wa Maradhi na Hadithi Nyingine)
  • 2005: Mwongozo wa Kifo Kisimani – Focus Publishers. (A literature study guide for the play Kifo Kisimani)
  • 2005:  ‘Uyoga! Uyoga!’, ‘Nyakera’ and ‘Ukuni wa Uchaga’ poems in the anthology Tamthilia  ya Maisha edited by K.W. Wamitila – Vide~Muwa Publishers.
  • 2004:  ‘Ndimi za Mauti’ a short story in the anthology Mayai Waziri wa Maradhi na Hadithi Nyingine edited by K.W. Wamitila – Focus Publishers.
  • 2002:  Mwongozo wa Kilio cha Haki – Sat Publications. (A literature study guide for the play Kilio cha Haki)
  • 1998: Mwongozo wa Siku Njema - Standard Textbooks and Publishers. (A literature study guide for the novel Siku Njema)

Prof. Peter Githinji

Mwenyekiti, Idara ya Kiswahili 


Kiswahili News & Events

Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne ya 21

MODNS2_CREATED 29 November 2021

Wahadhiri na wanafunzi waliohudhuria kongamano la CHAKITA lililofanyika katika Kenya school of Government ( Baringo) Kabarnet , Kuanzia Novemba 25-26, 2021. Kauli Mbiu: Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne...

WITO WA MAKALA ,KITABU CHA HESHIMA KWA PROF. GEORGE IRERI MBAABU

MODNS2_CREATED 06 July 2021

>>>>>DOWNLOAD WITO WA MAKALA ,KITABU CHA HESHIMA KWA PROF. GEORGE IRERI MBAABU

Go to Top
Template by JoomlaShine