Wahadhiri na wanafunzi waliohudhuria kongamano la CHAKITA lililofanyika katika Kenya school of Government ( Baringo) Kabarnet , Kuanzia Novemba 25-26, 2021. Kauli Mbiu: Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne ya 21.
Wanafunzi idarani wakiwa kwenye kongamano la CHAWAKAMA katika chuo kikuu cha Maasai Mara- Narok, Kenya
Wanaidara waliohudhuria semina ya idara kusikiliza mawasilisho ya wenzao waliohudhuria kongamano la CHAWAKAMA - Chuo Kikuu cha Maasai Mara- mwezi wa Novemba, 2019.
WAHADHIRI NA WANAFUNZI WA UMAHIRI WALIOHUDHURIA WASILISHO LA DR. MUSA HAS KUTOKA TATAKI_ CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Chairperson, Dr Pamela Ngugi and Dr Beth Mutugu during a visit of Othaya Girls High School visited to the department on 11th March, 2020
Wahadhiri wa Idara ya Kiswahili na wageni walio hudhuria semina iliyoandaliwa kusherehekea siku ya Lugha Mzazi akiwemo Naibu Balozi wa Bangladesh, Mheshimiwa Bw. Sayed Ahmed na Prof. Onywera - Registrar , Research, Innovation and Outreach miongoni mwa wageni wengine.
 

Position: Lecturer
Department: Kiswahili and African Languages
Appointment: Deputy Director, Student Affairs
Campus: Kenyatta University, Kitui Campus
Address: P.O. Box 410-90200 Kitui
Email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Google Scholar: https://scholar.google.com/citations?user=7gVnTaAAAAAJ&hl=en
Orcid ID: https://orcid.org/0000-0002-1142-7451

 

Download Cv

Publications

  • Arege, T. & Kaui, T.M. (2021) AKS 303: Contemporary Kiswahili Novel & Play. Blended Teaching Module. Kenyatta University.
  • Onyango, J. & Kaui, T.M. (2020) AKS 102: Historical & Current Developments in Kiswahili. Blended Teaching Module. Kenyatta University.
  • Wafula, R.M., Masinde, E. & Kaui, T.M. (2020) AKS 413: Comparative Literature in Kiswahili. Blended Teaching Module. Kenyatta University.
  • Kaui, T.M. & Muriithi J. (2020) AKS 201: Introduction to Study of Literature. Blended Teaching Module. Kenyatta University.
  • Kaui, T.M. (2014) Mwongozo wa Mstahiki Meya. Nairobi: Quineex Publishers.
  • Kaui, T.M & Wafula R.M. (2009) Mwongozo wa Utengano (2009). Nairobi: Njigua Publishers.

Expected Publications

  • Kaui, T.M. & Mutugu, B. (Ed.) (2021) Diwani ya Hadithi Fupi. Storymoja Publishers.
  • Kaui, T.M. (2021) Maradhi ya Moyo. Short Story.
  • Kaui, T.M. (2021) Lipi Kosa Langu? Short Story.

Finished Research Works

  • Ph. D Research in Kiswahili Literature in the area of Literary Intertextuality. Topic: Tathmini ya Usimilisho wa Riwaya na Hadithi Fupi kwa Wanafunzi wa Sekondari Nchini Kenya (2015).
  • M.A Kiswahili Dissertation in Kiswahili Literature entitled: Usawiri wa Vijana katika Tamthilia Teule za Kiswahili (2008).

Unpublished Works

  • Research Paper (2017) entitled: Towards a Standard Translation of the Swahili Bible: An Overview of the Challenges.

  • Ph. D Thesis (2015) entitled: Tathmini ya Usimilisho wa Riwaya na Hadithi Fupi kwa Wanafunzi wa Sekondari Nchini Kenya.

  • M.A Dissertation (2008) entitled: Usawiri wa Vijana katika Tamthilia Teule za Kiswahili.

Conference/Seminar Paper Presentation

  • 22nd February, 2019 Usimilisho katika Fasihi ya Kiswahili: Dhana, Historia na Maendeleo yake, Presented at International Mother Language Day, Kenyatta University, Kitui Campus.
  • 21st February, 2019 Lugha Chafu katika Fasihi ya Kikamba: Ubunifu ama Matusi? Presented at International Mother Language Day, Kenyatta University, Kitui Campus.
  • 20th February, 2019 Lugha kama Kichocheo cha Ubunifu: Uhakiki Linganuzi wa Nyimbo Pendwa za Kikenya na Kitanzania, presented at International Mother Language Day, Kenyatta University, Kitui Campus.
  • 31st July, 2014 Usimilisho wa Riwaya kwa Wanafunzi wa Sekondari Nchini Kenya, Seminar Paper Presented in Kiswahili Department Postgraduate Seminar at Kenyatta University, BSSC.
  • 16th July, 2014 Mbinu za Usimilisho wa Riwaya na Hadithi Fupi Seminar Paper Presented in Kiswahili Department Postgraduate Seminar at Kenyatta University, BSSC.

Conference Organization

  • Member of International Mother Language Day Conference Organizing Committee held on 20 – 22nd February, 2019, Kenyatta University, Kitui Campus.

 

Particiaption in Conferences and Seminars

  • 2019:  Kenya Institute on Curriculum Development Conference on “Enhancing Inclusion:  Enhancing Learning through Language in 21st Century” held on 6th August at KICD,  Nairobi.
  • 2019:  International Mother Language Day Conference on 20th to 22nd February at  Kenyatta University, Kitui Campus.
  • 2019:  Participated in CHAWAKAMA Conference on 26th Jan. 2019 at Karatina University  on Research Presentations addressing Various Issues Affecting Kiswahili  Language and Literature.
  • 2013:  Seminar on Teaching Methodologies, Tests and Measurements organized by  Kenyatta University.
  • 2007:  Attended Codestria International Seminar on Scholarly Writing and Research held  at Kenyatta University.

Workshops and Trainings

  • 2016:  Training Workshop on Public Complaints Handling and Management  by Commission for Administrative Justice at Nairobi, Kenya.
  • 2015:   Training Workshop on Effective Public Complaints Management by  Ethics and Integrity Institute, Kisumu, Kenya.
  • 2015:   Training Workshop on Quality Management Systems by Kenyatta University.
  • 2007:   Translation and Interpretation Training Workshop Organized by World Social  Forum, Nairobi, Kenya.

Prof. Peter Githinji

Mwenyekiti, Idara ya Kiswahili 


Kiswahili News & Events

Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne ya 21

MODNS2_CREATED 29 November 2021

Wahadhiri na wanafunzi waliohudhuria kongamano la CHAKITA lililofanyika katika Kenya school of Government ( Baringo) Kabarnet , Kuanzia Novemba 25-26, 2021. Kauli Mbiu: Mafanikio na Changamoto za Kiswahili katika Karne...

WITO WA MAKALA ,KITABU CHA HESHIMA KWA PROF. GEORGE IRERI MBAABU

MODNS2_CREATED 06 July 2021

>>>>>DOWNLOAD WITO WA MAKALA ,KITABU CHA HESHIMA KWA PROF. GEORGE IRERI MBAABU

Go to Top
Template by JoomlaShine